Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 14:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, wakabaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, walibaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, walibaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, walibaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Miongoni mwa watu walioenda kuipeleleza hiyo nchi, ni Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune peke yao waliosalia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Miongoni mwa watu waliokwenda kuipeleleza hiyo nchi, ni Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune peke yao waliosalia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, wakabaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 14:38
5 Marejeleo ya Msalaba  

Katika kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.


watu hao walioileta habari mbaya ya nchi wakafa kwa tauni mbele ya BWANA.


Kisha Musa akawaambia wana wa Israeli wote maneno haya, na hao watu wakaomboleza sana.


Kwa kuwa BWANA alisema juu yao, Hapana budi watakufa nyikani. Napo hapakusalia mtu mmoja miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.