Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 14:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwuliza Mose na Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwuliza Mose na Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwuliza Mose na Aroni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akamwambia Musa na Haruni:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akamwambia Musa na Haruni:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 14:26
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Mwamaleki na Mkanaani wakaa katika bonde; kesho geukeni, mkaende jangwani kwa njia iendayo Bahari ya Shamu.


Je! Nivumilie na mkutano mwovu huu uninung'unikiao hadi lini? Nimesikia manung'uniko ya wana wa Israeli, waninung'unikiayo.


Kwa kuwa BWANA alisema juu yao, Hapana budi watakufa nyikani. Napo hapakusalia mtu mmoja miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.