Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 14:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA akasema, Mimi nimewasamehe kama neno lako lilivyokuwa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akasema, Mimi nimewasamehe kama neno lako lilivyokuwa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 14:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema ya kuwa atawaangamiza Kama Musa, mteule wake, asingalisimama, Mbele zake na kusimama palipobomoka, Ili aigeuze hasira yake asije akawaangamiza.


Ee BWANA, Mungu wetu, ndiwe uliyewajibu; Ulikuwa kwao Mungu mwenye kusamehe Ingawa uliwapatiliza matendo yao.


Na BWANA akaughairi ule uovu aliosema ya kwamba atawatenda watu wake.


Musa akamwambia Farao, Haya, ujitukuze juu yangu katika jambo hili; sema ni lini unapotaka nikuombee wewe, na watumishi wako, na watu wako, ili hao vyura waangamizwe watoke kwako wewe na nyumba zako, wakae ndani ya mto tu.


BWANA asema hivi, Watu wale walioachwa na upanga walipata neema jangwani; yaani, Israeli, hapo nilipokwenda kumstarehesha.


Basi ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, ili mpate kuponywa. Sala yake mwenye haki ina nguvu nyingi, na hutenda mengi.