Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 1:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wale waliohesabiwa katika kabila la Naftali, walikuwa watu elfu hamsini na tatu na mia nne (53,400).

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

walikuwa watu 53,400.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

walikuwa watu 53,400.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

walikuwa watu 53,400.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu elfu hamsini na tatu na mia nne.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wale waliohesabiwa katika kabila la Naftali, walikuwa watu elfu hamsini na tatu na mia nne (53,400).

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 1:43
4 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wana wa Naftali, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Hao ndio waliohesabiwa, ambao Musa na Haruni na wale wakuu wa Israeli watu kumi na wawili waliwahesabu; walikuwa kila mmoja kwa ajili ya nyumba ya baba zake.


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na tatu na mia nne.


Hawa ndio jamaa wa Naftali kwa jamaa zao; na waliohesabiwa kwao walikuwa elfu arubaini na tano na mia nne.