Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 1:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wale waliohesabiwa katika kabila la Simeoni, walikuwa watu elfu hamsini na tisa na mia tatu (59,300).

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

walikuwa watu 59,300.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

walikuwa watu 59,300.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

walikuwa watu 59,300.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu elfu hamsini na tisa na mia tatu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wale waliohesabiwa katika kabila la Simeoni, walikuwa watu elfu hamsini na tisa na mia tatu (59,300).

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 1:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wana wa Simeoni, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, wale waliohesabiwa kama hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa, kila mwanaume kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Katika wana wa Gadi, kwa kufuata vizazi vyao, jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu hamsini na tisa na mia tatu;


Basi jina la Mwisraeli huyo aliyeuawa pamoja na yule mwanamke Mmidiani, aliitwa Zimri, mwana wa Salu, mkuu wa nyumba ya baba zake, katika kabila la Simeoni.


Hawa ndizo jamaa wa Wasimeoni, watu elfu ishirini na mbili na mia mbili.