Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hagai 2:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa majeshi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Fedha na dhahabu yote duniani ni mali yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Fedha na dhahabu yote duniani ni mali yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Fedha na dhahabu yote duniani ni mali yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

‘Fedha ni mali yangu na dhahabu ni mali yangu,’ asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

‘Fedha ni mali yangu na dhahabu ni mali yangu,’ asema bwana Mwenye Nguvu Zote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa majeshi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hagai 2:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Atakusihi sana? Au, atakuambia maneno ya upole?


Nchi na vyote vilivyomo ni mali ya BWANA, Dunia na wote wakaao ndani yake.


Utukufu wa Lebanoni utakujia wewe, Mberoshi na mtidhari na mteashuri pamoja; Ili kupapamba mahali pangu patakatifu, Nami nitapatukuza mahali pa miguu yangu.


Badala ya shaba nitaleta dhahabu, Na badala; ya chuma nitaleta fedha, Na badala ya mti, shaba, Na badala ya mawe, chuma; Tena nitaifanya amani kuwa kama msimamizi wako, Na haki kuwa kiongozi wako.