Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hagai 2:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA wa majeshi asema hivi, Waulizeni sasa makuhani kuhusu sheria, mkisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akamwambia: “Waambie makuhani watoe uamuzi juu ya jambo hili:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akamwambia: “Waambie makuhani watoe uamuzi juu ya jambo hili:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akamwambia: “Waambie makuhani watoe uamuzi juu ya jambo hili:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni: ‘Ulizeni makuhani jinsi sheria inavyosema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Hili ndilo asemalo bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Ulizeni makuhani jinsi sheria inavyosema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA wa majeshi asema hivi, Waulizeni sasa makuhani kuhusu sheria, mkisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hagai 2:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Makuhani wake wameivunja sheria yangu, wametia unajisi vitu vyangu vitakatifu; hawakuweka tofauti ya vitu vitakatifu na vitu vya kutumiwa sikuzote; wala hawakuwafundisha watu kupambanua vitu vichafu na vitu vilivyo safi, nao wamefumba macho yao, wasiziangalie sabato zangu, nami nimetiwa unajisi kati yao.


Kwa maana yapasa midomo ya kuhani ihifadhi maarifa, tena yawapasa watu kuitafuta sheria kinywani mwake; kwa kuwa yeye ni mjumbe wa BWANA wa majeshi.


Watamfundisha Yakobo hukumu zako, Na Israeli torati yako, Wataweka uvumba mbele zako, Na sadaka nzima za kuteketezwa madhabahuni mwako.


akilishika lile neno la imani vile vile kama alivyofundishwa, apate kuweza kuwaonya watu kwa mafundisho yenye uzima, na kuwashinda wenye kupinga.