Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hagai 1:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi, kwa ajili yenu mbingu zimezuiliwa zisitoe umande, nayo nchi imezuiliwa isitoe matunda yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndio maana mbingu zimeacha kunyesha mvua, nayo ardhi haioteshi mavuno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndio maana mbingu zimeacha kunyesha mvua, nayo ardhi haioteshi mavuno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndio maana mbingu zimeacha kunyesha mvua, nayo ardhi haioteshi mavuno.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo, mbingu zimezuia umande wake na ardhi mavuno yake kwa sababu yenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo, kwa sababu yenu mbingu zimezuia umande wake na ardhi mavuno yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, kwa ajili yenu mbingu zimezuiliwa zisitoe umande, nayo nchi imezuiliwa isitoe matunda yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hagai 1:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Eliya Mtishbi, wa wageni wa Gileadi, akamwambia Ahabu, Kama BWANA, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye ninasimama mbele zake, hakutakuwa na umande wala mvua miaka hii, ila kwa neno langu.


Ikiwa mbingu zimefungwa, hata hakuna mvua, kwa sababu wamekukosa wewe; kama wakiomba wakikabili mahali hapa, na kulikiri jina lako, na kuiacha dhambi yao, wakati ule utakapowatesa;


Basi kwa ajili ya hayo, nitaitwaa tena ngano yangu kwa wakati wake, na divai yangu kwa wakati wake, nami nitamnyang'anya sufu yangu na kitani yangu, vya kumfunika uchi wake.


Nami nitakivunja kiburi cha uwezo wenu; nami nitazifanya mbingu zenu kuwa kama chuma, na nchi yenu kuwa kama shaba;


Mmepanda mbegu nyingi mkavuna kidogo; mnakula lakini hamshibi; mnakunywa lakini hamtosheki na vinywaji; mnajivika nguo lakini hampati joto; na yeye apataye mshahara apata mshahara ili kuutia katika mfuko uliotobokatoboka.