Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Habakuki 1:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee BWANA, nilie hadi lini, wewe usitake kusikia? Nakulilia kwa sababu ya udhalimu, ila hutaki kuokoa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Ee Mwenyezi-Mungu, nitakulilia mpaka lini, nawe usinisikilize na kunisaidia? Kwa nini nalia: ‘Dhuluma’ nawe hutuokoi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Ee Mwenyezi-Mungu, nitakulilia mpaka lini, nawe usinisikilize na kunisaidia? Kwa nini nalia: ‘Dhuluma’ nawe hutuokoi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Ee Mwenyezi-Mungu, nitakulilia mpaka lini, nawe usinisikilize na kunisaidia? Kwa nini nalia: ‘Dhuluma’ nawe hutuokoi?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mwenyezi Mungu, hata lini nitakuomba msaada, lakini wewe husikilizi? Au kukulilia, “Udhalimu!” lakini hutaki kuokoa?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee bwana, hata lini nitakuomba msaada, lakini wewe husikilizi? Au kukulilia, “Udhalimu!” Lakini hutaki kuokoa?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee BWANA, nilie hadi lini, wewe usitake kusikia? Nakulilia kwa sababu ya udhalimu, ila hutaki kuokoa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Habakuki 1:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, nalia, Udhalimu, lakini sisikiwi; Naulilia msaada, wala hapana hukumu.


Lakini Wewe U Mtakatifu, Utukuzwaye na sifa za Israeli.


BWANA, hadi lini wasio haki, Hadi lini wasio haki watashangilia?


Kwa nini wewe umekuwa kama mtu aliyeshtuka, kama shujaa asiyeweza kuokoa? Lakini wewe, BWANA, u katikati yetu, nasi tunaitwa kwa jina lako; usituache.


Naam, nikilia na kuomba msaada, Huyapinga maombi yangu.


Ndipo yule malaika wa BWANA akajibu, akasema, Ee BWANA wa majeshi, hadi lini utakataa kuurehemu Yerusalemu, na miji ya Yuda uliyoikasirikia miaka hii sabini?


Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, na Mkweli, utakawia hadi lini kuhukumu na kuilipa damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?