Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Habakuki 1:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Atawatoa walio katika wavu wake, asiache kuwaua watu wa mataifa daima?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Je, hawataacha kamwe kuvuta upinde wao? Je, wataendelea tu kuwanasa watu, na kuyaangamiza mataifa bila huruma?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Je, hawataacha kamwe kuvuta upinde wao? Je, wataendelea tu kuwanasa watu, na kuyaangamiza mataifa bila huruma?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Je, hawataacha kamwe kuvuta upinde wao? Je, wataendelea tu kuwanasa watu, na kuyaangamiza mataifa bila huruma?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, aendelee kuwatoa walio katika wavu wake, akiangamiza mataifa bila huruma?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, aendelee kuwatoa walio katika wavu wake, akiangamiza mataifa bila huruma?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Atawatoa walio katika wavu wake, asiache kuwaua watu wa mataifa daima?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Habakuki 1:17
11 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA amelivunja gongo la wabaya, Fimbo ya enzi yao wenye kutawala.


Yeye aliyewapiga mataifa kwa ghadhabu, Kwa mapigo yasiyokoma; Aliyewatawala mataifa kwa hasira, Ameadhibiwa asizuie mtu.


Na wavuvi wataugua, na wote wavuao kwa ndoana watahuzunika, nao watandao jarife juu ya maji watazimia.


Kwa maana udhalimu uliotendwa juu ya Lebanoni utakufunikiza, na kuangamizwa kwao wanyama kutakutia hofu; kwa sababu ya damu ya watu, na kwa sababu ya udhalimu iliotendwa nchi hii, na mji huu, na watu wote wanaokaa ndani yake.