Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wa wana wa Yoabu, Obadia, mwana wa Yehieli; na pamoja naye wanaume mia mbili na kumi na wanane.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Obadia, mwana wa Yehieli, wa ukoo wa Yoabu, pamoja na wanaume 218.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Obadia, mwana wa Yehieli, wa ukoo wa Yoabu, pamoja na wanaume 218.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Obadia, mwana wa Yehieli, wa ukoo wa Yoabu, pamoja na wanaume 218.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa wazao wa Yoabu, alikuwa Obadia mwana wa Yehieli na wanaume mia mbili kumi na nane;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa wazao wa Yoabu, alikuwa Obadia mwana wa Yehieli na wanaume 218 pamoja naye;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wa wana wa Yoabu, Obadia, mwana wa Yehieli; na pamoja naye wanaume mia mbili na kumi na wanane.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wa Pahath-Moabu, wazawa wa Yeshua na Yoabu, elfu mbili mia nane na kumi na wawili.


Na wa wana wa Binui, Shelomithi, mwana wa Yosifia; na pamoja naye wanaume mia moja na sitini.


Na wa wana wa Shefatia, Zebadia, mwana wa Mikaeli; na pamoja naye wanaume themanini.


Wana wa Pahath-Moabu, wa wana wa Yeshua na Yoabu, elfu mbili mia nane na kumi na wanane.