Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wa wana wa Pahath-Moabu, Eliehoenai, mwana wa Zerahia; na pamoja naye wanaume mia mbili;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Eliehoenai, mwana wa Zerahia, wa ukoo wa Pahath-moabu, pamoja na wanaume 200.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Eliehoenai, mwana wa Zerahia, wa ukoo wa Pahath-moabu, pamoja na wanaume 200.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Eliehoenai, mwana wa Zerahia, wa ukoo wa Pahath-moabu, pamoja na wanaume 200.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa wazao wa Pahath-Moabu, alikuwa Eliehoenai mwana wa Zerahia na wanaume mia mbili;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa wazao wa Pahath-Moabu, alikuwa Eliehoenai mwana wa Zerahia na wanaume 200 pamoja naye;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wa wana wa Pahath-Moabu, Eliehoenai, mwana wa Zerahia; na pamoja naye wanaume mia mbili;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa wazawa wa Pahath-Moabu; Adna, na Kelali, na Benaya, na Maaseya, na Matania, na Besaleli, na Binui, na Manase.


Wazawa wa Pahath-Moabu, wazawa wa Yeshua na Yoabu, elfu mbili mia nane na kumi na wawili.


wa wana wa Paroshi, Zekaria; na pamoja naye wakahesabiwa kwa nasaba wanaume mia moja na hamsini.


Wa wana wa Zatu, Shekania, mwana wa Yahazieli; na pamoja naye wanaume mia tatu.


Na viongozi wa watu; Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani;


Wana wa Pahath-Moabu, wa wana wa Yeshua na Yoabu, elfu mbili mia nane na kumi na wanane.