Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

vile vyombo vyote kwa hesabu na kwa uzani; tena uzani wake wote uliandikwa wakati ule.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila kitu kilihesabiwa na kupimwa na wakati huo uzito wa kila kitu uliandikwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila kitu kilihesabiwa na kupimwa na wakati huo uzito wa kila kitu uliandikwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila kitu kilihesabiwa na kupimwa na wakati huo uzito wa kila kitu uliandikwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila kitu kilihesabiwa kwa idadi na kupimwa kwa uzito, nao uzito wote uliandikwa wakati ule.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila kitu kilihesabiwa kwa idadi na kupimwa kwa uzito, nao uzito wote uliandikwa wakati ule.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

vile vyombo vyote kwa hesabu na kwa uzani; tena uzani wake wote uliandikwa wakati ule.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:34
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, angalieni, na kuvitunza vitu hivi, hata mtakapovipima mbele ya wakuu wa makuhani, na Walawi, na wakuu wa koo za mababa wa Israeli, huko Yerusalemu, katika vyumba vya nyumba ya BWANA.


Hata siku ya nne, hizo fedha na dhahabu na vile vyombo vilipimwa ndani ya nyumba ya Mungu, vikatiwa mikononi mwa Meremothi, mwana wa Uria, kuhani; na pamoja naye alikuwapo Eleazari, mwana wa Finehasi; na pamoja nao Yozabadi, mwana wa Yeshua, na Noadia, mwana wa Binui, Walawi;


Na wana wa uhamisho, waliokuwa wametoka katika uhamisho wakamtolea Mungu wa Israeli sadaka za kuteketezwa, ng'ombe kumi na wawili kwa ajili ya Israeli wote, na kondoo dume tisini na sita, na wana-kondoo sabini na saba, na mabeberu kumi na wawili, kuwa sadaka ya dhambi, hao wote pia walikuwa sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA.