Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tukafika Yerusalemu, tukakaa huko muda wa siku tatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tulipofika Yerusalemu, tulipumzika kwa muda wa siku tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tulipofika Yerusalemu, tulipumzika kwa muda wa siku tatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tulipofika Yerusalemu, tulipumzika kwa muda wa siku tatu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tukafika Yerusalemu, tukakaa huko muda wa siku tatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:32
3 Marejeleo ya Msalaba  

Hata siku ya nne, hizo fedha na dhahabu na vile vyombo vilipimwa ndani ya nyumba ya Mungu, vikatiwa mikononi mwa Meremothi, mwana wa Uria, kuhani; na pamoja naye alikuwapo Eleazari, mwana wa Finehasi; na pamoja nao Yozabadi, mwana wa Yeshua, na Noadia, mwana wa Binui, Walawi;


Basi nikafika Yerusalemu, nikakaa huko muda wa siku tatu.