Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo nikawatenga watu kumi na wawili wa wakuu wa makuhani, nao ni Sherebia, na Hashabia, na watu kumi wa ndugu zao pamoja nao,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Halafu kati ya makuhani waliokuwa viongozi nilichagua kumi na wawili: Sherebia, Hashabia pamoja na wenzao kumi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Halafu kati ya makuhani waliokuwa viongozi nilichagua kumi na wawili: Sherebia, Hashabia pamoja na wenzao kumi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Halafu kati ya makuhani waliokuwa viongozi nilichagua kumi na wawili: Sherebia, Hashabia pamoja na wenzao kumi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha niliwatenga viongozi wa makuhani kumi na wawili, pamoja na Sherebia, Hashabia na ndugu zao kumi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha niliwatenga viongozi wa makuhani kumi na wawili, pamoja na Sherebia, Hashabia na ndugu zao kumi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo nikawatenga watu kumi na wawili wa wakuu wa makuhani, nao ni Sherebia, na Hashabia, na watu kumi wa ndugu zao pamoja nao,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:24
1 Marejeleo ya Msalaba