Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wa wana wa Adonikamu, hawa waliokuwa wa mwisho, na hayo ndiyo majina yao, Elifeleti, na Yeueli, na Shemaya; na pamoja nao wanaume sitini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Elifeleti, Yeueli na Shemaya, wa ukoo wa Adonikamu, pamoja na wanaume 60, (hawa walirudi baadaye).

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Elifeleti, Yeueli na Shemaya, wa ukoo wa Adonikamu, pamoja na wanaume 60, (hawa walirudi baadaye).

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Elifeleti, Yeueli na Shemaya, wa ukoo wa Adonikamu, pamoja na wanaume 60, (hawa walirudi baadaye).

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa wazao wa Adonikamu: hawa walikuwa wa mwisho ambao majina yao ni Elifeleti, Yeueli, Shemaya na wanaume sitini;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa wazao wa Adonikamu: hawa walikuwa wa mwisho ambao majina yao ni Elifeleti, Yeueli, Shemaya na wanaume 60 pamoja nao;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa wana wa Adonikamu, hawa waliokuwa wa mwisho, na hayo ndiyo majina yao, Elifeleti, na Yeueli, na Shemaya; na pamoja nao wanaume sitini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wa Adonikamu, mia sita sitini na sita.


Na wa wana wa Azgadi, Yohana, mwana wa Hakatani; na pamoja naye wanaume mia moja na kumi.


Na wa wana wa Bigwai, Uthai, mwana wa Zabudi; na pamoja naye wanaume sabini.


Wana wa Adonikamu, mia sita sitini na saba.