Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 5:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo wakawauliza hivi, Majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni gani?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pia waliuliza, “Ni akina nani wanaojenga nyumba hii? Tunataka majina yao.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pia waliuliza, “Ni akina nani wanaojenga nyumba hii? Tunataka majina yao.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pia waliuliza, “Ni akina nani wanaojenga nyumba hii? Tunataka majina yao.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pia waliwauliza, “Je, majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni nani?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pia waliwauliza, “Je, majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni nani?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo wakawauliza hivi, Majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni nani?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 5:4
2 Marejeleo ya Msalaba  

Tukawauliza pia majina yao, ili kukuhakikishia, tupate kuandika majina ya watu waliokuwa wakubwa wao.


Basi Bezaleli na Oholiabu watatenda kazi, na kila mtu mwenye moyo wa hekima, ambaye BWANA amemtia akili na hekima ili ajue kufanya kazi hiyo yote kwa huo utumishi wa mahali patakatifu, kama hayo yote BWANA aliyoyaagiza.