Tukawauliza pia majina yao, ili kukuhakikishia, tupate kuandika majina ya watu waliokuwa wakubwa wao.
Ezra 5:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Ndipo wakawauliza hivi, Majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni gani? Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Pia waliuliza, “Ni akina nani wanaojenga nyumba hii? Tunataka majina yao.” Biblia Habari Njema - BHND Pia waliuliza, “Ni akina nani wanaojenga nyumba hii? Tunataka majina yao.” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Pia waliuliza, “Ni akina nani wanaojenga nyumba hii? Tunataka majina yao.” Neno: Bibilia Takatifu Pia waliwauliza, “Je, majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni nani?” Neno: Maandiko Matakatifu Pia waliwauliza, “Je, majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni nani?” BIBLIA KISWAHILI Ndipo wakawauliza hivi, Majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni nani? |
Tukawauliza pia majina yao, ili kukuhakikishia, tupate kuandika majina ya watu waliokuwa wakubwa wao.
Basi Bezaleli na Oholiabu watatenda kazi, na kila mtu mwenye moyo wa hekima, ambaye BWANA amemtia akili na hekima ili ajue kufanya kazi hiyo yote kwa huo utumishi wa mahali patakatifu, kama hayo yote BWANA aliyoyaagiza.