Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 2:55 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wazawa wa watumishi wa Sulemani; wazawa wa Sotai, wazawa wa Soferethi, wazawa wa Peruda;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Koo za wazawa wa watumishi wa Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa, ukoo wa Sotai, wa Hasoferethi, wa Perudha,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Koo za wazawa wa watumishi wa Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa, ukoo wa Sotai, wa Hasoferethi, wa Perudha,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Koo za wazawa wa watumishi wa Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa, ukoo wa Sotai, wa Hasoferethi, wa Perudha,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wazao wa watumishi wa Sulemani: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wazao wa watumishi wa Sulemani: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wazawa wa watumishi wa Sulemani; wana wa Sotai, wana wa Soferethi, wana wa Peruda;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 2:55
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa habari ya watu wote waliosalia, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi, wasiokuwa wa wana wa Israeli;


watoto wao waliosalia baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli hawakuweza kuwaharibu kabisa, katika hao Sulemani akawatumikisha shokoa hata leo.


wazawa wa Nesia, wazawa wa Hatifa.


wazawa wa Yaala, wazawa wa Darkoni, wazawa wa Gideli;


Wazawa wa watumishi wa Sulemani; Wana wa Sotai, wana wa Soferethi, wana wa Peruda;


Nami nikanunua watumwa na wajakazi, nikawa na watumwa waliozaliwa nyumbani mwangu; tena nikawa na mali nyingi za ng'ombe na kondoo, kuliko wote walionitangulia katika Yerusalemu;