Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 2:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Walawi; wazawa wa Yeshua, wazawa wa Kadmieli wa wawazawa wa Hodavia, sabini na wanne.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walawi wa ukoo wa Yeshua na wa Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walawi wa ukoo wa Yeshua na wa Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walawi wa ukoo wa Yeshua na wa Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia), sabini na wanne (74).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walawi:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walawi; wana wa Yeshua, wana wa Kadmieli wana wa Hodavia, sabini na wanne.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 2:40
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.


Waimbaji; wazawa wa Asafu, mia moja ishirini na wanane.


Ndipo wakasimama Yeshua, na wanawe na ndugu zake, Kadmieli, na wanawe, wana wa Hodavia, pamoja, ili kuwasimamia hao wafanyao kazi katika nyumba ya Mungu; wana wa Henadadi, pamoja na wana wao, na ndugu zao, Walawi.


Hata siku ya nne, hizo fedha na dhahabu na vile vyombo vilipimwa ndani ya nyumba ya Mungu, vikatiwa mikononi mwa Meremothi, mwana wa Uria, kuhani; na pamoja naye alikuwapo Eleazari, mwana wa Finehasi; na pamoja nao Yozabadi, mwana wa Yeshua, na Noadia, mwana wa Binui, Walawi;


Tena Walawi; Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa juu ya shukrani, yeye na ndugu zake.


Walawi; Wana wa Yeshua, wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.