Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 2:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Makuhani; wazawa wa Yedaya, wa ukoo wa Yeshua, mia tisa sabini na watatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ifuatayo ni idadi ya makuhani waliorudi kutoka uhamishoni: Makuhani wa ukoo wa Yedaya, waliokuwa wazawa wa Yeshua: 673;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ifuatayo ni idadi ya makuhani waliorudi kutoka uhamishoni: Makuhani wa ukoo wa Yedaya, waliokuwa wazawa wa Yeshua: 673;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ifuatayo ni idadi ya makuhani waliorudi kutoka uhamishoni: makuhani wa ukoo wa Yedaya, waliokuwa wazawa wa Yeshua: 673;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua), mia tisa sabini na watatu (973);

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Makuhani:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Makuhani; wana wa Yedaya, wa ukoo wa Yeshua, mia tisa sabini na watatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 2:36
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika makuhani; Yedaya, na Yehoyaribu, na Yakini;


Basi, miongoni mwa makuhani walionekana wengine waliokuwa wameoa wanawake wageni; wa wazawa wa wa Yoshua, mwana wa Yosadaki, na nduguze; Maaseya, na Eliezeri, na Yaribu, na Gedalia.


Na wa wazawa wa Imeri; Hanani, na Zebadia.


Na wa wazawa wa Harimu; Maaseya, na Eliya, na Shemaya, na Yehieli, na Uzia.


Na wa wazawa wa Pashuri; Elioenai, na Maaseya, na Ishmaeli, na Nethaneli, na Yozabadi, na Elasa.


Watu wa Senaa, elfu tatu mia sita na thelathini.


Ndipo wakasimama Yeshua, na wanawe na ndugu zake, Kadmieli, na wanawe, wana wa Hodavia, pamoja, ili kuwasimamia hao wafanyao kazi katika nyumba ya Mungu; wana wa Henadadi, pamoja na wana wao, na ndugu zao, Walawi.


Na watu waliosalia, makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, Wanethini, na hao wote waliojitenga katika watu wa nchi kwa Torati ya Mungu; wake zao, na wana wao, na binti zao, kila mwenye maarifa na akili;


Makuhani; Wana wa Yedaya, wa mbari ya Yeshua, mia tisa sabini na watatu.