Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 2:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Watu wa Betheli, na Ai, mia mbili ishirini na watatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wa mji wa Betheli na Ai: 223;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wa mji wa Betheli na Ai: 223;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wa mji wa Betheli na Ai: 223;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

watu wa Betheli na Ai, mia mbili na ishirini na watatu (223);

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wa Betheli, na Ai, mia mbili ishirini na watatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 2:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akaondoka huko akaenda mpaka mlima ulio upande wa mashariki wa Betheli, akaipiga hema yake; Betheli ilikuwa upande wa magharibi, na Ai upande wa mashariki, akamjengea BWANA madhabahu huko, akaliitia jina la BWANA.


Watu wa Mikmashi, mia moja ishirini na wawili.


Watu wa Nebo, hamsini na wawili.


Watu wa Nebo, hamsini na wawili.


Omboleza, Ee Heshboni, Kwa maana Ai umeangamizwa; Lieni, enyi binti za Raba, Mjivike nguo za magunia; Ombolezeni, mkipiga mbio Huko na huko kati ya maboma; Maana Malkamu atakwenda kuhamishwa, Makuhani wake na wakuu wake pamoja.


Basi watu wa Betheli walikuwa wamewatuma Shareza na Regem-meleki, na watu wao, ili kuomba fadhili za BWANA,


Kisha Yoshua akatuma watu kutoka Yeriko mpaka mji wa Ai, ulio karibu na Beth-aveni, upande wa mashariki wa Betheli, akawaambia, akisema, Pandeni juu mkaipeleleze nchi, basi wakapanda juu wakaupeleleza Ai.


Hakusalia mtu yeyote ndani ya Ai, au katika Betheli, asiyetoka nje kuwafuatia Israeli; wakauacha mji wazi na kuwafuatia Israeli.


Basi Yoshua akawatuma; nao wakaenda hadi hapo watakapootea, wakakaa kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa Ai; lakini Yoshua akalala usiku huo kati ya watu.