Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 2:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wazawa wa Ateri, wazawa wa Hezekia, tisini na wanane.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wa ukoo wa Ateri, yaani Hezekia: 98;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wa ukoo wa Ateri, yaani Hezekia: 98;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wa ukoo wa Ateri, yaani Hezekia: 98;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wazao wa Ateri (kupitia Hezekia), tisini na nane (98);

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana wa Ateri, wana wa Hezekia, tisini na wanane.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 2:16
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wa Adini, mia nne hamsini na wanne.


Wazawa wa Besai, mia tatu ishirini na watatu.


Wana wa Ateri, wa Hezekia, tisini na wanane.