Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 10:44 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hao wote walikuwa wameoa wanawake wageni; na wake zao wengine walikuwa wamezaa watoto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanaume hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni. Basi wakawaacha wanawake hao pamoja na watoto wao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanaume hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni. Basi wakawaacha wanawake hao pamoja na watoto wao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanaume hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni. Basi wakawaacha wanawake hao pamoja na watoto wao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hao wote walikuwa wameoa wanawake wageni; na wake zao wengine walikuwa wamezaa watoto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 10:44
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme Sulemani akawapenda wanawake wengi wageni, pamoja na binti yake Farao, wanawake wa Wamoabi, na wa Waamoni, na wa Waedomi, na wa Wasidoni, na wa Wahiti,


Haya basi! Na tufanye agano na Mungu wetu, kuachana na wake zetu, na wale waliozaliwa nao, tukilifuata shauri la bwana wangu, na shauri la hao wanaoitetemekea amri ya Mungu wetu; mambo haya na yatendeke kwa kuifuata torati.


Maana wametwaa binti zao kuwa wake zao, na wake za watoto wao; basi mbegu takatifu wamejichanganya na watu wa nchi hizi; naam, mkono wa wakuu na viongozi umetangulia katika kosa hili.


Ili kuokoka na malaya, Naam, malaya mwenye kubembeleza kwa maneno yake;


Mwanangu! Mbona unashangilia malaya, Na kukikumbatia kifua cha mgeni?


Maana midomo ya malaya hudondosha asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta;