Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 10:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wa wazawa wa Elamu; Matania, na Zekaria, na Yehieli, na Abdi, na Yeremothi, na Eliya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ukoo wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Elia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ukoo wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Elia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ukoo wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Elia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kutoka wazao wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Ilya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kutoka wazao wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Ilya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa wana wa Elamu; Matania, na Zekaria, na Yehieli, na Abdi, na Yeremothi, na Eliya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 10:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hata Shekania, mwana wa Yehieli, mmoja wa wazawa wa Elamu, akajibu, akamwambia Ezra, Sisi tumemkosea Mungu wetu, nasi tumeoa wanawake wageni wa watu wa nchi hizi; lakini bado kuna tumaini kwa Israeli katika jambo hili.


Na wa Israeli; wa wazawa wa Paroshi; Ramia, na Izia, na Malkiya, na Miyamini, na Eleazari, na Malkiya, na Benaya.


Na wa wazawa wa Zatu; Elioenai, na Eliashibu, na Matania, na Yeremothi, na Zabadi, na Aziza.


Watu wa Elamu wa pili, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Wazawa wa Elamu, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Na wa wana wa Elamu, Yeshaya, mwana wa Athalia; na pamoja naye wanaume sabini.


Wana wa Elamu, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.


Wana wa Elamu wa pili, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.