Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 10:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wa Israeli; wa wazawa wa Paroshi; Ramia, na Izia, na Malkiya, na Miyamini, na Eleazari, na Malkiya, na Benaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wengineo wa Israeli: Ukoo wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wengineo wa Israeli: Ukoo wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wengineo wa Israeli: Ukoo wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Miongoni mwa Waisraeli wengine: Kutoka wazao wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Miongoni mwa Waisraeli wengine: Kutoka wazao wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa Israeli; wa wana wa Paroshi; Ramia, na Izia, na Malkiya, na Miyamini, na Eleazari, na Malkiya, na Benaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 10:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wa waimbaji; Eliashibu. Na wa mabawabu; Shalumu, na Telemu, na Uri.


Na wa wazawa wa Elamu; Matania, na Zekaria, na Yehieli, na Abdi, na Yeremothi, na Eliya.


wazawa wa Paroshi, elfu mbili mia moja sabini na wawili.


wa wana wa Paroshi, Zekaria; na pamoja naye wakahesabiwa kwa nasaba wanaume mia moja na hamsini.


Wana wa Paroshi, elfu mbili mia moja sabini na wawili.