Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 10:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wa wazawa wa Imeri; Hanani, na Zebadia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ukoo wa Imeri: Hanani na Zebadia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ukoo wa Imeri: Hanani na Zebadia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ukoo wa Imeri: Hanani na Zebadia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa wana wa Imeri; Hanani, na Zebadia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 10:20
8 Marejeleo ya Msalaba  

ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri;


Nao wakatoa ahadi ya kwamba wataachana na wake zao; na kwa kuwa walikuwa na hatia, wakatoa kondoo dume kwa hatia yao.


Na wa wazawa wa Harimu; Maaseya, na Eliya, na Shemaya, na Yehieli, na Uzia.


Makuhani; wazawa wa Yedaya, wa ukoo wa Yeshua, mia tisa sabini na watatu.


Wazawa wa Imeri, elfu moja hamsini na wawili.


Wazawa wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.


Ndipo akasimama Yoshua, mwana wa Yosadaki, na ndugu zake makuhani, na Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, na ndugu zake, nao wakaijenga madhabahu ya Mungu wa Israeli, ili kutoa sadaka za kuteketezwa juu yake, kama ilivyoandikwa katika Torati ya Musa, mtu wa Mungu.


Wana wa Imeri, elfu moja hamsini na wawili.