Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 8:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akaniambia, Ingia uyaone machukizo mabaya wanayoyafanya hapa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akaniambia, “Ingia ndani ukaangalie machukizo mabaya wanayofanya humo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akaniambia, “Ingia ndani ukaangalie machukizo mabaya wanayofanya humo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akaniambia, “Ingia ndani ukaangalie machukizo mabaya wanayofanya humo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye akaniambia, “Ingia ndani, ukaone maovu na machukizo wanayofanya humu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye akaniambia, “Ingia ndani, ukaone maovu na machukizo wanayofanya humu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaniambia, Ingia uyaone machukizo mabaya wanayoyafanya hapa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 8:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini waliniasi, wala hawakutaka kunisikiliza; hawakutupilia mbali kila mtu machukizo ya macho yake, wala hawakuviacha vinyago vya Misri; ndipo nikasema kwamba nitamwaga ghadhabu yangu juu yao, ili kuitimiza hasira yangu juu yao, katikati ya nchi ya Misri.


Basi, nikaingia, nikaona; na tazama, kila namna ya wadudu, na wanyama wachukizao, na taswira za vinyago vyote vya nyumba ya Israeli, zimepigwa ukutani pande zote.


Akaniambia, Mwanadamu, je! Unayaona wanayoyafanya, yaani, haya machukizo makubwa wanayoyafanya nyumba ya Israeli hapa, ili niende zangu mbali na patakatifu pangu? Lakini utaona tena machukizo makubwa mengine.


Ndipo akaniambia, Mwanadamu, toboa sasa katika ukuta huu; nami nilipotoboa, tazama, pana mlango.