Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 8:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akanileta hadi katika mlango wa ua; nami nilipoangalia, tazama, pana tundu katika ukuta.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akanipeleka mpaka lango la ua. Nilipoangalia nikaona tundu ukutani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akanipeleka mpaka lango la ua. Nilipoangalia nikaona tundu ukutani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akanipeleka mpaka lango la ua. Nilipoangalia nikaona tundu ukutani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akanileta hadi ingilio la ukumbi. Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akanileta mpaka ingilio la ukumbi. Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akanileta hadi katika mlango wa ua; nami nilipoangalia, tazama, pana tundu katika ukuta.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 8:7
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na behewa kubwa pande zote ilikuwa na safu tatu za mawe ya kuchongwa, na safu moja ya mihimili ya mierezi; mfano wa behewa ya ndani ya nyumba ya BWANA, na ukumbi wa nyumba.


Akajenga madhabahu kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni katika behewa mbili za nyumba ya BWANA.


Akafanya miimo pia, dhiraa sitini; na uwanda uliufikia mwimo, lango lile likizungukwa pande zote.


Akaniambia, Mwanadamu, je! Unayaona wanayoyafanya, yaani, haya machukizo makubwa wanayoyafanya nyumba ya Israeli hapa, ili niende zangu mbali na patakatifu pangu? Lakini utaona tena machukizo makubwa mengine.


Ndipo akaniambia, Mwanadamu, toboa sasa katika ukuta huu; nami nilipotoboa, tazama, pana mlango.


Na alaaniwe mtu afanyaye sanamu ya kuchonga, au ya kusubu, machukizo kwa BWANA, kazi ya mikono ya fundi, akaisimamisha kwa siri. Na watu wote wajibu, waseme, Amina.