Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 8:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akaniambia tena, Utaona tena machukizo makubwa mengine wanayoyatenda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena akaniambia, “Bado utaona machukizo makubwa zaidi wanayotenda.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena akaniambia, “Bado utaona machukizo makubwa zaidi wanayotenda.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena akaniambia, “Bado utaona machukizo makubwa zaidi wanayotenda.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akasema tena, “Utawaona wakifanya mambo yaliyo chukizo zaidi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaniambia tena, Utaona tena machukizo makubwa mengine wanayoyatenda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 8:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Huupinda ulimi wao, kana kwamba ni upinde, ili kusema uongo; nao wamepata nguvu katika nchi, lakini si katika uaminifu; maana huendelea toka ubaya hata ubaya, wala hawanijui mimi, asema BWANA.


Kisha akaniambia, Mwanadamu, umeyaona wanayotenda wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mtu ndani ya vyumba vyake vya sanamu? Maana husema, BWANA hatuoni; BWANA ameiacha nchi hii.


Ndipo akanileta mpaka maingilio ya lango la kaskazini mwa nyumba ya BWANA, ulioelekea upande wa kaskazini, na tazama, wanawake wameketi wakimlilia Tamuzi.


Akaniambia, Mwanadamu umeyaona haya? Utaona tena machukizo makubwa kuliko hayo.


Akaniambia, Mwanadamu, je! Unayaona wanayoyafanya, yaani, haya machukizo makubwa wanayoyafanya nyumba ya Israeli hapa, ili niende zangu mbali na patakatifu pangu? Lakini utaona tena machukizo makubwa mengine.


Lakini watu waovu na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.