Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 7:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mikono yote itakuwa dhaifu, na magoti yote yatalegea kama maji.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila mtu, mikono yake itakuwa dhaifu na magoti yake yatakuwa maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila mtu, mikono yake itakuwa dhaifu na magoti yake yatakuwa maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila mtu, mikono yake itakuwa dhaifu na magoti yake yatakuwa maji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa dhaifu kama maji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa dhaifu kama maji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mikono yote itakuwa dhaifu, na magoti yote yatalegea kama maji.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 7:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tumesikia habari zake; mikono yetu inalegea; dhiki imetushika, na uchungu kama wa mwanamke wakati wa kuzaa kwake.


Piga kelele, utoe sauti ya uchungu, Ee mwanadamu, kwa maana upanga u juu ya watu wangu, u juu ya wakuu wote wa Israeli; wametolewa wauawe na upanga pamoja na watu wangu, basi, jipige pajani.


Na itakuwa, wakuambiapo, Mbona unapiga kite? Ndipo utakaposema, Kwa sababu ya habari hizo, maana linakuja; na kila moyo utayeyuka, na mikono yote itakuwa dhaifu, na kila roho itazimia, na magoti yote yatageuka kuwa kama maji; tazama, linakuja, nalo litatendeka, asema Bwana MUNGU.


Je! Moyo wako waweza kuvumilia, au mkono wako waweza kuwa hodari, katika siku zile nitakapokutenda mambo? Mimi, BWANA, nimenena neno hili, tena nitalitenda.


Ndipo uso wa mfalme ukambadilika; fikira zake zikamfadhaisha; viungo vya viuno vyake vikalegea; magoti yake yakagongana.


Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magoti yaliyopooza,