Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tena neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno la bwana likanijia kusema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 7:1
4 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA likanijia, kusema,


Nami nitanyosha mkono wangu juu yao, na kuifanya nchi kuwa maganjo, tena ukiwa mbaya kuliko jangwa upande wa Dibla, katika makao yao yote; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


Na wewe, mwanadamu, Bwana MUNGU aiambia hivi nchi ya Israeli; Ni mwisho; mwisho umezijia pembe nne za nchi.


Hao wana amri ya kuzifunga mbingu, ili mvua isinyeshe katika siku za unabii wao. Nao wana amri juu ya maji kuyageuza kuwa damu, na kuipiga nchi kwa kila pigo, kila watakapo.