Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 5:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nawe twaa nywele chache katika hizo, na kuzifunga katika upindo wa mavazi yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sehemu ndogo tu ya nywele zako utaichukua na kuifunga kwenye mkunjo wa joho lako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sehemu ndogo tu ya nywele zako utaichukua na kuifunga kwenye mkunjo wa joho lako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sehemu ndogo tu ya nywele zako utaichukua na kuifunga kwenye mkunjo wa joho lako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini chukua nywele chache uzifungie ndani ya pindo la vazi lako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini chukua nywele chache uzifungie ndani ya pindo la vazi lako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe twaa nywele chache katika hizo, na kuzifunga katika upindo wa mavazi yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 5:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini huyo kamanda wa askari walinzi akawaacha watu walio maskini ili wawe watunza mizabibu na wakulima.


Lakini Nebuzaradani, kamanda wa askari walinzi, akawaacha baadhi ya maskini wa watu, waliokuwa hawana kitu, katika nchi ya Yuda, akawapa mashamba ya mizabibu na mashamba wakati uo huo.


Basi, Yeremia akaenda kwa Gedalia, mwana wa Ahikamu, huko Mizpa, akakaa pamoja naye kati ya watu wale waliosalia katika nchi.


Lakini Nebuzaradani, kamanda wa askari walinzi, akawaacha watu walio maskini kabisa ili wawe watunza mizabibu na wakulima.


Theluthi ya hizo utaiteketeza katikati ya mji, siku za kuzingirwa zitakapomalizika; nawe utatwaa theluthi, na kuipiga kwa upanga pande zote; nawe utatawanya theluthi ichukuliwe na upepo, nami nitafuta upanga nyuma yake.


Nawe utatwaa tena baadhi ya hizo, na kuzitupa katikati ya moto, na kuziteketeza katika moto huo; kutoka nywele hizo moto utakuja na kuingia katika nyumba yote ya Israeli.


Bali mlango ni mwembamba, na njia imebana iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.


Na mwenye haki akiokoka kwa shida, yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi ataonekana wapi?