Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 48:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na mpakani mwa Manase, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Efraimu, fungu moja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Eneo linalopakana na eneo la Manase, kutoka upande wa mashariki hadi magharibi, litakuwa la kabila la Efraimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Eneo linalopakana na eneo la Manase, kutoka upande wa mashariki hadi magharibi, litakuwa la kabila la Efraimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Eneo linalopakana na eneo la Manase, kutoka upande wa mashariki hadi magharibi, litakuwa la kabila la Efraimu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Efraimu atakuwa na sehemu moja; itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mpakani mwa Manase, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Efraimu, fungu moja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 48:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana MUNGU asema hivi; Huu ndio mpaka ambao mtaigawanya nchi iwe urithi sawasawa na makabila kumi na mawili ya Israeli; kwa Yusufu, mafungu mawili.