Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 48:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na hao wafanyao kazi mjini, wa kabila zote za Israeli, watailima nchi hiyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wafanyakazi wa mjini wa kabila lolote la Israeli wanaweza kulima katika eneo hilo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wafanyakazi wa mjini wa kabila lolote la Israeli wanaweza kulima katika eneo hilo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wafanyakazi wa mjini wa kabila lolote la Israeli wanaweza kulima katika eneo hilo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hao wafanyao kazi mjini, wa kabila zote za Israeli, watailima nchi hiyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 48:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mtaiandika milki ya mji, upana wake elfu tano, na urefu wake elfu ishirini na tano, kandokando ya mahali palipotolewa, iwe sehemu takatifu; nayo itakuwa ya nyumba yote ya Israeli.


Na mabaki ya urefu wake yaelekeayo matoleo matakatifu, upande wa mashariki yatakuwa mianzi elfu kumi, na upande wa magharibi mianzi elfu kumi; nayo yatakuwa sawasawa na matoleo matakatifu; na mazao yake yatakuwa ni chakula cha watu wafanyao kazi humo mjini.


Matoleo yote yatakuwa mianzi elfu ishirini na tano, kwa mianzi elfu ishirini na tano; mtatoa matoleo matakatifu, nchi ya mraba, pamoja na milki ya mji.