Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 47:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi ndivyo mtakavyojigawanyia nafsi zenu nchi hii, sawasawa na makabila ya Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Basi, mtagawanya nchi hii kati yenu kulingana na makabila ya Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Basi, mtagawanya nchi hii kati yenu kulingana na makabila ya Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Basi, mtagawanya nchi hii kati yenu kulingana na makabila ya Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mtagawanya nchi hii miongoni mwenu kufuatana na makabila ya Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mtagawanya nchi hii miongoni mwenu kufuatana na makabila ya Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi ndivyo mtakavyojigawanyia nafsi zenu nchi hii, sawasawa na makabila ya Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 47:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, mtakapoigawanya nchi kwa kura iwe urithi, mtamtolea BWANA toleo, sehemu takatifu ya nchi, urefu wake utakuwa urefu wa mianzi elfu ishirini na tano, na upana wake elfu kumi; itakuwa takatifu ndani ya mipaka yake yote pande zote.


Na upande wa magharibi, utakuwa ni bahari kubwa, kutoka mpaka wa kusini mpaka mahali penye kuelekea maingilio ya Hamathi. Huu ndio upande wa magharibi.


Tena itakuwa mtaigawanya kwa kura, kuwa urithi kwenu, na kwa wageni wakaao kwenu kama ugeni, watakaozaa watoto kati yenu, nao watakuwa kwenu, kama wazaliwa miongoni mwa wana wa Israeli; watakuwa na urithi pamoja nanyi kati ya makabila ya Israeli.


Hiyo ndiyo nchi mtakayoyagawanyia makabila ya Israeli, kuwa urithi wao, na hayo ndiyo mafungu yao, asema Bwana MUNGU.