Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 46:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Watu wa nchi nao wataabudu mbele ya mlango wa lile lango mbele za BWANA, siku za sabato, na siku za mwezi mwandamo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila siku ya sabato na sikukuu ya mwezi mwandamo, watu wote wataniabudu mimi Mwenyezi-Mungu mbele ya lango.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila siku ya sabato na sikukuu ya mwezi mwandamo, watu wote wataniabudu mimi Mwenyezi-Mungu mbele ya lango.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila siku ya sabato na sikukuu ya mwezi mwandamo, watu wote wataniabudu mimi Mwenyezi-Mungu mbele ya lango.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku za Sabato na za Mwezi Mwandamo watu wote wa nchi wataabudu mbele za Mwenyezi Mungu penye lile ingilio la ile njia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku za Sabato na za Mwezi mwandamo watu wote wa nchi wataabudu mbele za bwana penye lile ingilio la ile njia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wa nchi nao wataabudu mbele ya mlango wa lile lango mbele za BWANA, siku za sabato, na siku za mwezi mwandamo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 46:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mpeni BWANA utukufu wa jina lake, Leteni sadaka, na mwingie katika nyua zake.


Bwana MUNGU asema hivi; Lango la ua wa ndani, lielekealo upande wa mashariki litafungwa siku sita za kazi; lakini siku ya sabato litafunguliwa, na siku ya mwezi mwandamo litafunguliwa.


Na makutano yote ya watu walikuwa wakisali nje saa ya kufukiza uvumba.


Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.