Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 45:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mtakuwa na mizani ya haki, na efa ya haki, na bathi ya haki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila mtu ni lazima atumie mizani na vipimo halali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila mtu ni lazima atumie mizani na vipimo halali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila mtu ni lazima atumie mizani na vipimo halali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya efa na bathi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya efa na bathi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtakuwa na mizani ya haki, na efa ya haki, na bathi ya haki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 45:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa BWANA; Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza.


Mizani ya haki na vitanga vyake ni vya BWANA; Mawe yote ya mfukoni ni kazi yake.


Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali, Vyote viwili ni chukizo kwa BWANA.


Kutenda haki na hukumu Humpendeza BWANA kuliko kutoa sadaka.


Kwa maana shamba la mizabibu la eka kumi litatoa bathi moja tu, na homeri ya mbegu itatoa efa tu.


Usiwe na mawe ya kupimia mbalimbali, kubwa na dogo, katika mfuko wako.


Uwe na jiwe timilifu la haki, uwe na kipimo kitimilifu cha haki; zipate kuwa nyingi siku zako, katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako.