Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 44:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye akiisha kutakaswa watamhesabia siku saba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mmoja wao akisha jitia unajisi, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mmoja wao akisha jitia unajisi, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mmoja wao akisha jitia unajisi, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akiisha kutakaswa watamhesabia siku saba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 44:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika siku atakayoingia ndani ya patakatifu, katika ua wa ndani, ili kuhudumu ndani ya patakatifu, atatoa sadaka yake ya dhambi, asema Bwana MUNGU.


Kisha mtu yeyote huko nje shambani atakayemgusa mtu aliyeuawa kwa upanga, au mzoga, au mfupa wa mtu, au kaburi, atakuwa najisi muda wa siku saba.