Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 44:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wala kuhani awaye yote hatakunywa mvinyo, aingiapo katika ua wa ndani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuhani yeyote asinywe divai anapoingia ua wa ndani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuhani yeyote asinywe divai anapoingia ua wa ndani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuhani yeyote asinywe divai anapoingia ua wa ndani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala kuhani awaye yote hatakunywa mvinyo, aingiapo katika ua wa ndani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 44:21
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hawataoa wanawake wajane, wala mwanamke aliyeachwa na mume wake; lakini watatwaa mabikira wa wazao wa nyumba ya Israeli, au mjane aliyefiwa na mumewe kuhani.


Usinywe divai wala kileo chochote, wewe, wala wanao pamoja nawe, hapo mwingiapo ndani ya hema ya kukutania, ili kwamba msife; amri hii itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyenu;


Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.


Vivyo hivyo mashemasi na wawe wastahivu; si wenye kauli mbili, si watu wa kutumia mvinyo sana, si watu wanaotamani fedha ya aibu;


Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.