Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 43:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kisha akanileta mpaka langoni, yaani, lango lile lielekealo upande wa mashariki;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha, yule mtu akanipeleka kwenye lango linaloelekea mashariki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha, yule mtu akanipeleka kwenye lango linaloelekea mashariki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha, yule mtu akanipeleka kwenye lango linaloelekea mashariki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha akanileta mpaka langoni, yaani, lango lile lielekealo upande wa mashariki;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 43:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nao makerubi wakainua mabawa yao, wakapaa juu kutoka katika dunia machoni pangu, hapo walipotoka nje, nayo magurudumu yakawa kando yao; wakasimama mahali pa kuingilia pa mlango wa upande wa mashariki wa nyumba ya BWANA; na utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.


Kisha akaenda hadi katika lango lielekealo upande wa mashariki, akapanda madaraja yake; akakipima kizingiti cha lango; upana wake mwanzi mmoja; na kizingiti cha pili, upana wake mwanzi mmoja.


Basi, alipokuwa amekwisha kuipima nyumba ya ndani, akanileta nje, kwa njia ya lango lililokabili upande wa mashariki, akalipima pande zote.


Na huo utukufu wa BWANA ukaingia ndani ya nyumba, kwa njia ya lango lile lielekealo upande wa mashariki.


Kisha akanirudisha kwa njia ya lango lile la nje, la mahali patakatifu lililoelekea upande wa mashariki; nalo lilikuwa limefungwa.


BWANA akaniambia, Lango hili litafungwa, halitafunguliwa, wala mtu awaye yote hataingia kwa lango hili, kwa maana BWANA, Mungu wa Israeli, ameingia kwa hilo; basi kwa sababu hiyo litafungwa.


Bwana MUNGU asema hivi; Lango la ua wa ndani, lielekealo upande wa mashariki litafungwa siku sita za kazi; lakini siku ya sabato litafunguliwa, na siku ya mwezi mwandamo litafunguliwa.