Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 42:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akaupima upande wa mashariki kwa mwanzi wa kupimia, mianzi mia tano, kwa mwanzi wa kupimia pande zote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliuchukua ule ufito wake wa kupimia na kuupima upande wa mashariki, nao ulikuwa mita 250.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliuchukua ule ufito wake wa kupimia na kuupima upande wa mashariki, nao ulikuwa mita 250.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliuchukua ule ufito wake wa kupimia na kuupima upande wa mashariki, nao ulikuwa mita 250.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa mia tano.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa 500

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaupima upande wa mashariki kwa mwanzi wa kupimia, mianzi mia tano, kwa mwanzi wa kupimia pande zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 42:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akanileta huko, na tazama, alikuwapo mtu, ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwa shaba, naye alikuwa na uzi wa kitani mkononi mwake, na mwanzi wa kupimia; akasimama karibu na lango.


Akaupima upande wa kaskazini, mianzi mia tano, kwa mwanzi wa kupimia pande zote.


Tena, mtakapoigawanya nchi kwa kura iwe urithi, mtamtolea BWANA toleo, sehemu takatifu ya nchi, urefu wake utakuwa urefu wa mianzi elfu ishirini na tano, na upana wake elfu kumi; itakuwa takatifu ndani ya mipaka yake yote pande zote.


Kisha nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, mtu mwenye kamba ya kupimia mkononi mwake.