Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 41:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Toka chini hadi juu ya mlango makerubi yamefanyika, na mitende, na vivi hivi ukuta wa hekalu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

tangu sakafu hadi juu ya milango palichorwa viumbe wenye mabawa na mitende.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

tangu sakafu hadi juu ya milango palichorwa viumbe wenye mabawa na mitende.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

tangu sakafu hadi juu ya milango palichorwa viumbe wenye mabawa na mitende.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuanzia sakafu hadi eneo lililo juu ya ingilio, palinakshiwa makerubi na mitende, pamoja na kwenye ukuta wa nje wa Patakatifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuanzia sakafu mpaka eneo lililo juu ya ingilio, palinakshiwa makerubi na miti ya mitende pamoja na kwenye ukuta wa nje wa patakatifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Toka chini hadi juu ya mlango makerubi yamefanyika, na mitende, na vivi hivi ukuta wa hekalu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 41:20
2 Marejeleo ya Msalaba  

kulipambwa kwa makerubi na mitende; mtende mmoja kati ya kerubi na kerubi, na kila kerubi lilikuwa na nyuso mbili;


Msifanye sanamu yoyote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jiwe lolote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.