Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 39:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Utaanguka katika uwanda; kwa maana mimi nimenena neno hili, asema Bwana MUNGU.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utafia porini. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utafia porini. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utafia porini. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema Bwana Mungu Mwenyezi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema bwana Mwenyezi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Utaanguka katika uwanda; kwa maana mimi nimenena neno hili, asema Bwana MUNGU.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 39:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tena itakuwa katika siku hiyo, BWANA ataliadhibu jeshi la mahali palipo juu katika mahali palipo juu, na wafalme wa dunia katika dunia;


Atazikwa maziko ya punda, akibururwa, na kutupwa nje ya malango ya Yerusalemu.


nao wataitawanya mbele ya jua, na mwezi, na jeshi lote la mbinguni, walivyovipenda, na kuvitumikia, na kuandamana navyo, na kuvitafuta, na kuviabudu haitakusanywa pamoja tena, wala kuzikwa; itakuwa ni samadi juu ya uso wa nchi.


Nami nitakuacha ukiwa umetupwa jangwani, wewe na samaki wote wa mito yako; utaanguka katika uwanda ulio wazi; hutakusanywa, wala kuwekwa pamoja; nimekutoa uwe chakula cha wanyama wa nchi, na cha ndege wa angani.


Nami nitakuacha juu ya nchi kavu, nitakutupa juu ya uso wa uwanda, nami nitawaleta ndege wote wa angani watue juu yako, nami nitawashibisha wanyama wa dunia yote kwako wewe.


Nami nitaijaza milima yake watu wake waliouawa; katika milima yako, na katika mabonde yako, na mito yako yote, wataanguka wao watakaouawa kwa upanga.


Utaanguka juu ya milima ya Israeli, wewe, na vikosi vyako vyote, na watu wa kabila nyingi walio pamoja nawe; nami nitakutoa na kuwapa ndege wa kila namna walao nyama, na wanyama wa pori, uliwe na wao.


Nami nitapeleka moto juu ya Magogu; na juu ya watu wote wakaao salama katika visiwa; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.