Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 39:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na kwa muda wa miezi saba, nyumba ya Israeli watakuwa wakiwazika, wapate kuitakasa nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa kuisafisha nchi Waisraeli watatumia muda wa miezi saba kuzika maiti hizo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa kuisafisha nchi Waisraeli watatumia muda wa miezi saba kuzika maiti hizo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa kuisafisha nchi Waisraeli watatumia muda wa miezi saba kuzika maiti hizo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Kwa miezi saba nyumba ya Israeli itakuwa ikiwazika ili kuisafisha nchi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Kwa miezi saba nyumba ya Israeli itakuwa ikiwazika ili kuisafisha nchi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kwa muda wa miezi saba, nyumba ya Israeli watakuwa wakiwazika, wapate kuitakasa nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 39:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, itakuwa katika siku hiyo, nitampa Gogu pa kuzikia katika Israeli, bonde la wapitao, upande wa mashariki wa bahari; nalo litawazuia wapitao; na huko watamzika Gogu na jamii ya watu wake wote; nao wataliita, Bonde la Hamon-Gogu.


Nao watawachagua watu wa kufanya kazi ya daima, watakaopita kati ya nchi, ili kuwazika waliosalia juu ya uso wa nchi, ili kuisafisha; miezi saba itakapokwisha kupita watachunguza.


Tena, Hamona litakuwa jina la mji. Hivyo ndivyo watakavyotakasa nchi.


Mtu agusaye maiti yeyote atakuwa najisi muda wa siku saba;


Hii ndiyo amri, mtu afapo ndani ya hema; kila mtu aingiaye ndani ya hema hiyo, na kila mtu aliye humo hemani, atakuwa najisi muda wa siku saba.


Kisha mtu yeyote huko nje shambani atakayemgusa mtu aliyeuawa kwa upanga, au mzoga, au mfupa wa mtu, au kaburi, atakuwa najisi muda wa siku saba.


mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo BWANA, Mungu wako, iwe urithi wako.