Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 32:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nami nitaweka nyama yako juu ya milima, na kuyajaza mabonde kwa urefu wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nitatawanya nyama yako milimani, na kujaza mabonde yote mzoga wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nitatawanya nyama yako milimani, na kujaza mabonde yote mzoga wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nitatawanya nyama yako milimani, na kujaza mabonde yote mzoga wako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitatawanya nyama yako juu ya milima na kujaza mabonde kwa mabaki yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitatawanya nyama yako juu ya milima na kujaza mabonde kwa mabaki yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nitaweka nyama yako juu ya milima, na kuyajaza mabonde kwa urefu wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 32:5
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wageni, watu wa mataifa watishao, wamemkatilia mbali na kumwacha; juu ya milima na katika mabonde yote matawi yake yameanguka, na vitanzu vyake vimevunjika karibu na mifereji yote ya nchi; na watu wote wa dunia wameshuka, wakitoka katika uvuli wake na kumwacha.


Nami nitaijaza milima yake watu wake waliouawa; katika milima yako, na katika mabonde yako, na mito yako yote, wataanguka wao watakaouawa kwa upanga.


Utaanguka juu ya milima ya Israeli, wewe, na vikosi vyako vyote, na watu wa kabila nyingi walio pamoja nawe; nami nitakutoa na kuwapa ndege wa kila namna walao nyama, na wanyama wa pori, uliwe na wao.