Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 3:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana wewe hukutumwa kwa watu wa lugha isiyoeleweka, ama wa lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sikutumi kwa taifa lenye lugha ngeni na ngumu, bali kwa Waisraeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sikutumi kwa taifa lenye lugha ngeni na ngumu, bali kwa Waisraeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sikutumi kwa taifa lenye lugha ngeni na ngumu, bali kwa Waisraeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hukutumwa kwa taifa lenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hukutumwa kwa taifa lenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana wewe hukutumwa kwa watu wa lugha isiyoeleweka, ama wa lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 3:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Aliamuru iwe ushuhuda katika Yusufu, Alipoondoka juu ya nchi ya Misri; Maneno yake nisiyemjua niliyasikia.


La, bali kwa midomo ya watu wageni, na kwa lugha nyingine atasema na watu hawa;


Hutawaona watu wale wakali; watu wa maneno magumu usiyoweza kuyafahamu; wenye lugha ya kigeni usiyoweza kuielewa.


Akaniambia, Mwanadamu, haya! Waendee wana wa Israeli ukawaambie maneno yangu.


si kwa watu wa kabila nyingi wenye usemi usioeleweka, na lugha ngumu, ambao huwezi kufahamu maneno yao. Bila shaka, kama ningekutuma kwa watu hao, wangekusikiliza.


Kisha Roho ikaniinua, ikanichukua mpaka katika ua wa ndani; na tazama, utukufu wa BWANA uliijaza nyumba.


Ondoka, uende Ninawi, mji ule mkubwa, ukapige kelele juu yake; kwa maana uovu wao umepanda juu mbele zangu.


Na makutano walipoona aliyoyafanya Paulo wakapaza sauti zao, wakisema kwa lugha ya Kilikaonia, Miungu wametushukia kwa mifano ya wanadamu.