Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 3:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akaniambia, Mwanadamu, haya! Waendee wana wa Israeli ukawaambie maneno yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akaniambia, “Wewe mtu, waendee Waisraeli, ukawaambie maneno yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akaniambia, “Wewe mtu, waendee Waisraeli, ukawaambie maneno yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akaniambia, “Wewe mtu, waendee Waisraeli, ukawaambie maneno yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akaniambia, “Mwanadamu, sasa nenda katika nyumba ya Israeli ukawanenee maneno yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akaniambia, “Mwanadamu, sasa nenda katika nyumba ya Israeli ukaseme nao maneno yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaniambia, Mwanadamu, haya! Waendee wana wa Israeli ukawaambie maneno yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 3:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo nikawaambia watu wa uhamisho habari ya mambo yote aliyonionesha BWANA.


Basi toa unabii juu yao, Ee mwanadamu, toa unabii.


Akaniambia, Mwanadamu, nakutuma kwa wana wa Israeli, kwa mataifa wanaoasi, walioniasi mimi; wao na baba zao wameasi juu yangu, naam, hata hivi leo.


Na wana hao wana nyuso zisizo na haya, na mioyo yao ni migumu. Mimi nakutuma kwa hao; nawe utawaambia, Bwana MUNGU asema hivi.


Nawe utawaambia maneno yangu, iwe watasikia au hawataki kusikia; maana hao wanaasi sana.


Basi, mwanadamu, sema na nyumba ya Israeli, uwaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Baba zenu wamenitukana kwa jambo hili, kwa kuwa wametenda kosa juu yangu.


Haya! Nenda uwafikie watu hao waliohamishwa, kwa wana wa watu wako, ukaseme nao, na kuwaambia, Bwana MUNGU asema hivi; iwe watasikia au hawataki kusikia.


Akaniambia, Mwanadamu, lisha tumbo lako, ulijaze tumbo lako kwa hili gombo nikupalo. Ndipo nikalila, nalo kinywani mwangu lilikuwa tamu, kama utamu wa asali.


Maana wewe hukutumwa kwa watu wa lugha isiyoeleweka, ama wa lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli;


Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.