Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 3:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi nikafunua kinywa changu, naye akanilisha lile gombo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo nilifumbua kinywa changu, naye akanilisha hicho kitabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo nilifumbua kinywa changu, naye akanilisha hicho kitabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo nilifumbua kinywa changu, naye akanilisha hicho kitabu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo, nikafungua kinywa changu, naye akanipa kile kitabu nikile.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo nikafungua kinywa changu, naye akanilisha ule ukurasa wa kitabu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi nikafunua kinywa changu, naye akanilisha lile gombo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 3:2
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo nikakipokea kikombe kile mkononi mwa BWANA, nikawanywesha mataifa yote, ambao BWANA alinituma kwao;


Basi toa unabii juu yao, Ee mwanadamu, toa unabii.


Akaniambia, Mwanadamu, lisha tumbo lako, ulijaze tumbo lako kwa hili gombo nikupalo. Ndipo nikalila, nalo kinywani mwangu lilikuwa tamu, kama utamu wa asali.


Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni,