Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 28:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwanadamu, uuelekezee Sidoni uso wako, ukatabiri juu yake,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Wewe mtu! Ugeukie mji wa Sidoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Wewe mtu! Ugeukie mji wa Sidoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Wewe mtu! Ugeukie mji wa Sidoni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Sidoni, ukatabiri dhidi yake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Sidoni, ukatabiri dhidi yake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanadamu, uuelekezee Sidoni uso wako, ukatabiri juu yake,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 28:21
19 Marejeleo ya Msalaba  

Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,


Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.


Naye akasema, Usizidi kufurahi, ewe bikira uliyeaibishwa, binti wa Sidoni, haya, ondoka, uende hadi Kitimu; huko nako hutapata raha.


na wafalme wote wa Tiro, na wafalme wote wa Sidoni, na wafalme wote wa kisiwa kilicho ng'ambo ya pili ya bahari;


kisha uvipeleke kwa mfalme wa Edomu, na mfalme wa Moabu, na mfalme wa wana wa Amoni, na mfalme wa Tiro, na mfalme wa Sidoni, kwa mikono ya wajumbe watakaofika Yerusalemu kwa Sedekia, mfalme wa Yuda.


kwa sababu ya siku ijayo kuwaangamiza Wafilisti wote, kukatilia mbali kila msaidizi wa Tiro na Sidoni asaliaye; maana BWANA atawaharibu Wafilisti, mabaki ya kisiwa cha Kaftori.


Mwanadamu, uelekeze uso wako Yerusalemu, ukadondoze neno lako upande wa mahali patakatifu, ukatabiri juu ya nchi ya Israeli;


Mwanadamu, uwaelekezee wana wa Amoni uso wako, ukatabiri juu yao.


Wakaao Sidoni na Arvadi ndio waliovuta makasia yako; wana wako wenye akili, Ee Tiro, walikuwa ndani yako, ndio waliokuwa rubani zako.


Neno la BWANA likanijia, kusema,


Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Farao, mfalme wa Misri, ukatabiri juu yake, na juu ya Misri yote;


Wakuu wa kaskazini wako huko, wote pia, na Wasidoni, wote walioshuka pamoja na hao waliouawa; kwa sababu ya hofu waliyoleta katika uwezo wao wamefedheheka, nao wamelala wakiwa hawajatahiriwa, pamoja nao waliouawa kwa upanga, nao wanachukua aibu yao, pamoja nao washukao shimoni.


Mwanadamu, uelekeze uso wako uitazame milima ya Israeli, ukaitabirie,


na Hamathi pia iliyo mpakani mwake; na Tiro, na Sidoni, kwa maana ana akili nyingi.


na Ebroni, Rehobu, Hamoni, Kana, hadi kufikia Sidoni Kuu;


kisha mpaka ulizunguka kuelekea Rama, na mji wa Tiro ulio na boma; kisha mpaka ulizunguka kuelekea Hosa; na matokeo yake yalikuwa baharini katika nchi ya Akzibu;


na Uma pia, na Afeka, na Rehobu; miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.