Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 27:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa sauti ya vilio vya rubani zako viunga vyako vitatetemeka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mlio wa mabaharia wako utakaposikika, nchi za pwani zitatetemeka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mlio wa mabaharia wako utakaposikika, nchi za pwani zitatetemeka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mlio wa mabaharia wako utakaposikika, nchi za pwani zitatetemeka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nchi za pwani zitatetemeka wakati mabaharia wako watakapopiga kelele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nchi za pwani zitatetemeka wakati mabaharia wako watakapopiga kelele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sauti ya vilio vya rubani zako viunga vyako vitatetemeka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 27:28
10 Marejeleo ya Msalaba  

Makabila ya watu wamesikia, wanatetemeka, Wakazi wa Ufilisti uchungu umewashika.


Kwa kishindo cha kutwaliwa Babeli nchi itatetemeka, Na kilio chake chasikiwa katika mataifa.


Kwa sababu wingi wa farasi wake, mavumbi yao yatakufunika; kuta zako zitatetemeka kwa sababu ya mshindo wa wapanda farasi, na wa magurudumu, na wa magari ya vita, atakapoingia katika malango yako, kama watu waingiavyo katika mji uliobomolewa mahali.


Mali zako, na bidhaa yako, na utajiri wako, wanamaji wako, na rubani zako, na wenye kutia kalafati wako, na wafanya biashara wako, na watu wako wa vita wote, walio ndani yako, pamoja na jeshi lako lote lililo ndani yako, wataanguka katika moyo wa bahari katika siku ya kuangamia kwako.


Wote wakaao katika visiwa vile watakustaajabia, na wafalme wao wameogopa sana, wamefadhaika nyuso zao.


Niliwatetemesha mataifa kwa mshindo wa kuanguka kwake, hapo nilipomtupa chini mpaka kuzimu, pamoja nao washukao shimoni; na miti yote ya Adeni, miti iliyo miteule na iliyo mizuri ya Lebanoni, yote inywayo maji, ilifarijika pande za chini za nchi.


Katika hiyo itakuwako sehemu kwa mahali patakatifu, urefu wake mia tano, na upana wake mia tano, mraba pande zote; na dhiraa ishirini kwa viunga vyake pande zote.


Ngao ya mashujaa wake imefanywa kuwa nyekundu, watu walio hodari wa vita wamevaa nguo nyekundu sana; magari ya vita yametameta kwa chuma cha pua siku ya kukusanywa kwake, na mikuki inatikiswa kwa namna ya kutisha.


kwa kuwa katika saa moja utajiri mwingi namna hii umekuwa ukiwa. Na kila nahodha na kila aendaye mahali popote kwa matanga, na mabaharia, nao wote watendao kazi baharini, wakasimama mbali;